Quantcast
Channel: MPENJA SPORTS
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENTEKE SHUJAA LIVERPOOL IKIIBUKA NA USHINDI WA JIONI 'STADIUM OF LIGHT'

Majogoo wa Anfield Liverpool wakiwa ugenini katika dimba la 'Stadium of light' wameibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Sunderland.Mshambuliaji Christian Benteke ndiye aliyefunga bao hilo pekee lililoipa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARSENAL YAZIDI KUJIIMARISHA KILELENI, MAN U NAO WAFUFUKA

Wayne Rooney amefungia Man Utd bao la ushindiArsenal wamefungua mwanya wa alama mbili kileleni mwa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kuandikisha ushindi dhidi ya Newcastle, Manchester United nao wakipanda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAMATTA, AUBAMEYANG WACHEZAJI BORA AFRIKA

Pierre Emerick AubameyangMbwana Samatta akiwa na Pierre Emerick AubameyangMwanasoka raia wa Tanzania anayechezea TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mmbwana Ally Samatta amenyakua tuzo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WACHEZAJI WANAOUNDA KIKOSI BORA CHA MWAKA CHA AFRIKA HAWA HAPA

KIPA: Robert Muteba KIDIABA (DR Congo)MABEKI: Serge AURIER (Cote d’Ivoire), Aymen ABDENNOUR (Tunisia), Mohamed MEFTAH (Algeria)VIUNGO: Andre AYEW (Ghana), Yaya TOURE (Cote d’Ivoire), Sadio MANE...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dakika 180 za vita Azam FC Ligi Kuu

KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imejiwekea malengo ya kupambana kuhakikisha inashinda mechi mbili zijazo za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya African Sports na Mgambo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAPILI 10.01.2016

Mshambuliaji wa Everton Romelu Lukaku anataka kujiunga na Paris St-Germain au Real Madrid kuliko kwenda Manchester United (Sun), Barcelona wanamtaka kiungo wa Arsenal Aaron Ramsey na beki wa Everton...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TETESI ZA SOKA ULAYA -JUMATATU 11.01.2016

Chelsea wametoa pauni milioni 30 kumtaka kiungo mshambuliaji wa Shakthtar Donetsk, Alex Teixeira, ambaye amepachika mabao 26 katika mechi 26 msimu huu (Star), Chelsea pia wanamtaka mshambuliaji wa AC...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MESSI ATWAA Ballon d'Or KWA MARA YA TANO

Mshambuliaji wa Barcelona Lionel MESSI ametwaa tuzo ya MCHEZAJI BORA WA DUNIA -- Ballon d'Or kwa mwaka 2015 na kumfanya mchezaji huyo kuchukua tuzo hiyo kwa mara ya tano katika historia ya maisha yake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUBEMAYANG AJIBU MAPIGO KWA YAYA TOURE

Mshambulizi wa Borussia Dortmund Pierre-Emerick Aubameyang amesikitishwa na kauli ya Yaya Toure baada ya kukosa tuzo ya mchezaji bora Afrika.Toure alidhani yeye ndiye angetangazwa mshindi wa tuzo hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA:AZAM WAKIJIFUA KWA AJILI YA MAANDALI YA PAMBANO LA VPL DHIDI YA AFRICAN...

Wachezaji wa timu ya Azam FC wakifanya mazoezi ya nguvu leo asubuhi kwenye Uwanja Azam Complex kujiandaa na mchezo dhidi ya African Sports utakaofanyika Jumamosi ijayo katika uwanja huo bora kabisa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MARCO VERRATTI NA KAULI YAKE JUU YA MKATABA MPYA WA ZLATAN PSG

Marco Verratti anaamini kwamba Paris Saint-Germain hawana tatizo juu ya kumuongeza mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic.Mkataba wa Zlatan unaisha mwishoni mwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANAYOJIRI DIRISHA DOGO LA USAJILI ULAYA JUMATANO 13.01.2016

Beki wa zamani wa Manchester United Nemanja Vidic ameondoka Inter Milanna anafikiria kujiunga na ligi ya Marekani MLS (Daily Mail), Manchester United sasa wanamfuatilia kiungo wa Valencia Andre Gomes...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VAN GAAL AWATUPIA LAWAMA WACHEZAJI WAKE

Meneja wa Manchester United, Louis van Gaal amesema kikosi chake kilikua na nafasi kubwa ya kuibuka na ushindi mnono, tofauti na sare ya mabao matatu kwa matatu waliyoiambulia usiku wa kuamkia hii leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAMATTA APEWA ZAWADI YA MAANA NA SERIKALI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi (kushoto) akithibitisha serikali kumzawadia Samatta fedha na kiwanja maeneo ya KigamboniKwa kuthamini tuzo aliyotwaa nahodha wa timu taifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JE, HENRY JOSEPH ANA USHAURI GANI KWA SAMATTA WAKATI AKIELEKEA KUCHEZA SOKA...

Mchezaji wa muda mrefu wa timu ya taifa ya Tanzania na klabu ya Simba Henry Joseph Shindika ambaye kwa sasa anakipiga kwenye klabu ya Mtibwa Sugar ya Morogoro, ametoa ushauri kwa nyota wa soka la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF KUANDAA HAFLA YA KUMPONGEZA SAMATTA

Kufuatia mchezaji Mbwana Samatta kushinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wa ndani, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania  (TFF) lilikuwa limeandaa shughuli maalum ya kumpongeza,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STAND UNITED YAPIGWA RUNGU LA MAANA NA TFF

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi imeipiga faini ya sh. 500,000 (laki tano) klabu ya Stand United baada ya timu yake kupata kadi zaidi ya tano kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom dhidi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUHUSU KUTUMIA AMA KUTOTUMIA UWANJA WAO KWENYE MICHUANO YA KIMATAIFA, AZAM...

Uongozi wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, umesema kuwa bado wataendelea kuutumia uwanja wao wa Azam Complex kwenye mechi za Kombe la Shirikisho Afrika mwaka huu.Kauli hiyo imekuja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTIBWA SUGAR KUSUKA AMA KUNYOA MAPINDUZI CUP LEO

Timu ya soka ya Mtibwa Sugar usiku wa leo itashuka dimbani kuwania Kombe la Mapinduzi dhidi ya URA ya Uganda kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.Mtibwa Sugar imeingia Fainali baada ya kuwatoa waliokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TETESI ZA SOKA ULAYA- ALHAMISI 14.01.2016

Meneja wa Manchester United Louis van Gaal, anakabiliwa na mtihani mgumu katika umeneja wake wakati atakapokutana na Liverpool siku ya Jumapili, huku uongozi wa klabu hiyo ukiwa na wasiwasi wa kutofuzu...

View Article
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live