Quantcast
Channel: MPENJA SPORTS
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GUARDIOLA SASA KUONDOKA BAYERN MWISHO WA MSIMU, MRITHI WAKE ATANGAZWA

Bayern Munich wamethibitisha rasmi kwamba Carlo Ancelotti atachukua mikoba ya Pep Guardiola baada ya msimu huu wa ligi kumalizika.Guardiola, amejipatia mafanikio makubwa akiwa na miamba hiyo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARCA BINGWA KLABU BINGWA DUNIA, NIMEKUWEKEA VIDEO ZA MAGOLI HAPA

 Wachezaji wa Barcelona wakishangilia baada ya kutwaa ubingwa wa Klabu Bingwa Dunia kwa mara ya tatu baada ya kuwafunga River Plate ya Argentina kwa mabao 3-0Neymar, Luis Suarez na Lionel Messi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVERPOOL YATOKOTA MBELE YA WATFORD, YALIWA 3-0 (VIDEO YA MAGOLI YOTE IPO HAPA)

Odion Ighalo akiwa kwenye ubora wa hali ya juu ameisaidia Watford kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 nyumbani dhidi ya Liverpool baada ya kufunga mabao mawili na kuipeleka timu yake katika nafasi ya saba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FIFA WAWAPIGA RUNGU LA MIAKA NANE BLATTER, PLATINI.

Rais wa Fifa Sepp Blatter na mwenzake wa Uefa Michel Platini wote kwa pamoja wamefungiwa kujihusisha na masuala ya soka kwa miaka 8 kuanzia leo, hii ni kwa mujibu wa Kamati ya Maadili ya kujitegemea ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OZIL ATOA SABABU YA KUTOJIANGUSHA UWANJANI

Mesut Ozil ameahidi kuwa kamwe hutomwona akijiangusha ama akijaribu kumdanganya mwamuzi pindi awapo uwanjaniKiungo huyo mchezeshaji, ambaye yuko kwenye kiwango cha juu hivi sasa akielekea kuvunja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OZIL BADO ANA IMANI KUBWA NA MOURINHO, HIKI NDICHO ALICHOKISEMA

Mesut Ozil anahisi kuwa kocha wake wa zamani Jose Mourinho anaweza akaifanya Man United kurudi katika ubora wake tena kama zamaniMourinho aalifukuzwa na Chelsea wiki iliyopita baada ya mfululizo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: ANGALIA HARUSI YA FRANK LAMPARD NA MKWE JINSI ILIVYONOGA

+15Frank Lampard akimbusu mke wake Christine Bleakley baada ya kumaliza zoezi la harusi+15Akitabasamu+15+15Bleakley ambaye ni mtangazaji wa runinga akionekana mwenye furaha na Lampard vivyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKOSI BORA CHA WIKI LIGI KUU UINGEREZA HIKI HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WACHEZAJI WANAOUNDA KIKOSI KIBOVU CHA WIKI EPL HAWA HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGOMA, NONGA WATAFUTIWA BONGE LA KOMBINESHENI NA PLUIJM

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm ameanza kuwatafutia kombinesheni kali washambuliaji wa timu hiyo, Donald Ngoma na Paul Nonga, ili waweze kufunga mabao Ligi Kuu Bara na Ligi ya Mabingwa Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CECH AIPA UBINGWA ARSENAL

Mlinda lango wa Arsenal Petr Cech amesema kwamba kupona kwa baadhi ya wachezaji muhimu wa kikosi cha kwanza kutawafanya wachukue taji la EPL msimu huu.Arsenal walikuwa katika kiwango bora katika mchezo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJABVI AWAPIGIA MAGOTI SIMBA

Klabu ya Simba inapenda kuufahamisha umma kuwa mchezaji wake toka Zimbabwe Justice Majabvi ameomba kurejea  kwenye timu baada ya kutafakari upya uamuzi wake wa awali wa kutofanya mazoezi na wenzake.Leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KANE AMESEMA ANATAKA KUMFIKIA MESSI KWA MAGOLI MSIMU, NA HII NDIO TWEET YAKE....

Mshambulizi wa Tottenham na England Harry Kane ameweka tageti zake za kufunga ili kumfikia Leo Messi.Akiwa na magoli 30 kwa klabu yake na timu yake ya taifa msimu huu, Kane ameibuka kuwa moja ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKA AONJA JOTO YA JIWE KWA MASHARI

Bondia Thomas Mashari kutoka Dar amempiga Francis Cheka kwa pointi mjini Morogoro katika pambano la raundi 10, uzito wa Kg 77.Majaji wamempa Mashari pointi 94, 96 na 97 wakati mwenyeji Cheka amepata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA KOMBE PA MAPINDUZI ZANZIBAR MWAKA 2016 HII HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU NDIYO WASIWASI MKUBWA WA HIDDINK JUU YA CHELSEA

Guus Hiddink ametanabaisha kuwa ana wasiwasi mkubwa sana juu ya nafasi ambayo Chelsea wanaweza kukamata, huku akifurahisi na hali ya wachezaji wake kujiamini baada ya suluhu dhidi ya Manchester United...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CECH AVUNJA REKODI HII HAPA KUNAKO LIGI KUU UINGEREZA

Petr Cech amevunja rasmi rekodi ya kuwa kipa aliyecheza mechi nyingi bila ya kufungwa 'clean sheets' katika historia ya Ligi Kuu EngalndCech '33' amevunja rekodi ya David James baada ya kufukisha idadi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAMATTA ATIA MAGUU OFISINI KWA NAPE, WATETA JUU YA TUZO YA MCHEZAJI BORA AFRIKA

Mbwana Samatta (kulia) akiwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo Mh. Nape NnauyeMshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta leo amekutana na Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAM OYA OYA, YAINYUKA MTIBWA NA KURUDI KILELENI

Wachezaji wa Azam FC pamoja na benchi la ufundi wakishangilia goli lililofungwa na John Bocco ‘Adebayor’ ambalo imeipeleka timu hiyo kileleni mwa ligi kuu ya Vodacom Tanzania baraGoli pekee la team...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARCA WAINYUKA BETIS 4-0 NA KUVUNJA REKODI HII

Lionel Messi amefanikiwa kuifungia Barcelona goli katika mechi yake ya 500 kwa timu hiyo huku wakifanikwa kuibuka na ushindi wa mabao 5-0.Messi alifunga goli hilo baada ya kupoke apasi murua kutoka kwa...

View Article
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live