Quantcast
Channel: MPENJA SPORTS
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA USHINDI WA STARS WA GOLI 1-0 DHIDI YA CHAD, KAZIMOTO ATOA NENO

Kiungo wa wekundu wa Msimbazi na timu ya taifa ya Tanzania Mwinyi Kazimoto, yeye furaha yake ya ushindi ameionesha kwenye kupitia account yake ya facebook mbapo ameanfika ujumbe wenye kauli ya Waziri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SPAIN CHUPUCHUPU KWA ITALY, MATOKEO YOTE YA MICHEZO YA KIRAFIKI ILIYOPIGWA...

Usiku wa kuamkia leo kumechezwa michezo ya kirafiki ya kimataifa ikiwa ni michezo ya kujiandaa na michuano ya kombe la ulaya.Mabingwa wa kombe la dunia mwaka 2010 Hispania walitosha nguvu na itali kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARGENTIN YALIPA KIKASI CHA COPA AMERICA DHIDI YA CHILE, YAIPIGA 2-1 KUFUZU...

Chile: Bravo 6, Isla 5.5, Medel 6.5, Jara 7, Mena 6.5, Diaz 6 (Rabello 21, 5.5, Pinilla 69, 6)), Gutierrez 8, M Fernandez (Silva 6, 7) Orellana 7.5, Alexis 7, Beausejour 7Kadi: Gutierrez.Goli:...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

XAVI ATOA VIGEZO VYAKE KWA NINI MESSI NI BORA KULIKO RONALDO

Nahodha wa zamani wa Barcelona  Xavi Hernandez, amemuelezea Lionel Messi kama mchezaji bora kuliko Cristiano Ronaldo, na pia mwenye akili nyingi zaidi ya nyota huyo wa Madrid ambaye ni mpinzani wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PLUIJM ALIA NA RATIBA VPL

KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm amesema mchezo wao dhidi ya Al Ahly ya Misri utakuwa mgumu kutokana na ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara kuwabana, kiasi cha kukosa nafasi ya wachezaji wake kupata muda wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAM YAIVURUGA VIBAYA FRIENDS RANGERS

KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, asubuhi ya leo imeichapa Friends Rangers mabao 7-1 katika mchezo wa kirafiki wa mazoezi uliofanyika katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, jijini Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PLUIJM AILIA 'TIMING' AL AHLY

KOCHA wa Yanga, Hans van der Pluijm kwa sasa hataki kubughudhiwa kwa sababu yuko bize akifukunyua na kuzisoma mbinu za wapinzani wake Al Ahly kuelekea katika mchezo wa kwanza wa 16 bora ya Ligi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA KOMBE LA FA YAPANGULIWA

Kwa mujibu wa marekebisho ya ratiba ya Vpl yaliyofanywa na bodi ya ligi: Aprili 6 uwanja wa Taifa ni Yanga vs Mtibwa, ligi kuu. Pia ratiba ya Azam Sports Federation Cup inaonesha Aprili 6 ni Simba vs...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GLENN VERBAUWHEDE:MLINDA MLANGO WA MARITZBURG UNITED ANAYEJIPELEKA KWA...

    

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

STARS YAPIGA IZI LEO, YONDANI, KAZIMOTO WASHUHUDIA JUKWAANI

Kikosi cha Taifa Stars kimefanya mazoezi kwa mara ya kwanza leo jioni tangu watue kutoka Chad walipopata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji Chad.Hata hivyo, wachezaji wawili, mlinzi tegemeo, Kelvin...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGURI TAYARI AMECHOSHWA NA STAND UNITED, HAYA NDIO MAAMUZI YAKE

Mshambuliaji Elias Maguri amebakiza miezi miwili tu katika mkataba wake na Stand United, amesema hana mpango wa kubaki kutokana na jinsi mambo yanavyokwenda.Hadi sasa Maguri ana mabao 10 katika Ligi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMBWE HANA HOFU KABISA NA AL AHLY

Straika Amissi Tambwe amesema haina haja ya mashabiki wa Yanga kuihofia Al Ahly kwani wana uwezo na wamepania kuifunga timu hiyo ya Misri kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga itaikaribisha Al...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALGERIA YAIFANYIA MAANGAMIZI ETHIOPIA, YAITUNGUA 7-1 (VIDEO)

    

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIGERIA NA MISRI NUSURA ILETE MAAFA, WATAZAMAJI WAFURIKA ZAIDI YA UWEZO WA...

Nigeria na Misri walikuwa na shughuli pevu jana katika mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika (Afcon), mchezo uliofanyika katika uwanja wa Ahmadu Bello uliopo mjini Kaduna na kuisha kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKITAKA KUIONA STARS NA CHAD BASI MKONONI UWE NA KIASI HIKI

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa Jumatatu kati ya Tanzania dhidi ya Chad utakaochezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.Kiingilio cha chini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJERUMANI YAKUBALI KULALA 3-2 KWA UINGEREZA

Striker wa Leister City aliingia uwanjani zikiwa zimesalia dakika 20 game kumalizika wakati huo England ikiwa nyuma kwa goli 2-1 dhidi ya Ujerumani, ndani ya dakika tano Vardy akawanyanyua mashabiki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAN HUNTELAAR AMVNJA PUA KIPA WAKE MAZOEZINI (VIDEO)

Mshambuliaji wa Uholanzi Klaas-Jan Huntelaar amevunja pua ya kipa wa Uholanzi Jasper Cillessen wkati wakiwa mazoezini.Hali hiyo ilikuja wakati Huntelaar akiwa anaambaa na mpira kwenda kufuga na wakat...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAM WAWEKA MIKONO CHINI KWA TFF, BODI YA LIGI

Uongozi wa klabu ya Azam FC umeliomba Shirikisho la Soka Tanzania (TFF )kuahirisha baadhi ya michezo yake ili ipate muda wa kuiandaa timu yao kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho la Soka Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIHWELO AZITAKA YANGA, SIMBA NA AZAM NUSU FAINALI AZAM SPORTS FEDERATION

Kocha wa Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amesema anataka kukutana na kati ya timu tatu za Yanga, Simba au Azam FC, katika nusu fainali ya Kombe la FA kwa kuwa anajua ni nyepesi sanaaa.Julio alisema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: GIROUD AMPIGA BONGE LA TOBO BEKI WA UHOLANZI

Olivier Giroud pengine hayuko kwenye kiwango kizuri kwa sasa kwenye klabu yake ya Arsenal, lakini alikuwa kwenye kiwango cha aina yake wakati akiichezea timu yake ya Taifa ya Ufaransa dhidi ya Uholanzi...

View Article
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live