Quantcast
Channel: MPENJA SPORTS
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1447

RATIBA YA KOMBE LA FA YAPANGULIWA

$
0
0
Kwa mujibu wa marekebisho ya ratiba ya Vpl yaliyofanywa na bodi ya ligi: Aprili 6 uwanja wa Taifa ni Yanga vs Mtibwa, ligi kuu. Pia ratiba ya Azam Sports Federation Cup inaonesha Aprili 6 ni Simba vs Coastal uwanja wa Taifa. Kutokana na mwingiliano huo, bodi ya ligi imesogeza mechi ya Asfc ya simba vs coastal, sasa itachezwa Aprili 11 uwanja wa Taifa.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 1447

Trending Articles