Quantcast
Channel: MPENJA SPORTS
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BANDA KUWAKOSA YANGA JUMAMOSI TAIFA

Mchezaji kiraka wa Simba, Abdi Banda hatakuwepo katika kikosi cha timu hiyo kitakachovaana na Yanga Jumamosi ya Wikiendi hii uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Banda ambaye anamudu nafasi zote za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUONE MTU MZITO HAPA MWENYE KILO 95 AKIBADILISHANA JEZI NA WADOGO ZAKE

+7Zlatan Ibrahimovic akoindoka uwanjani na jezi mbili ambazo alibadilishana na Willian pamoja na Pedro Rodriguez baada ya mchezo wa jana. PSG ilishinda 2-1 dhidi ya Chelsea+7Ibrahimovic akibadilishana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIO FERDINAND AMKOSOA RONALDO KWA KAULI YAKE

Rio Ferdinand amemjibu Cristiano Ronaldo baada ya kudai kwamba kuwa wakati wa kinyang'anyiro cha kuwania na hatimaye kuchukua UEFA mwaka 2008 hakuwa akiongea na mchezaji yeyote wa timu hiyo pindi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAM HAWANA PAPARA, WAWAANDALIA DAWA WAPINZANI WAO SHIRIKISHO TARATIIIBU!!

KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imezidi kujiandaa na kisayansi kuelekea mchezo wa raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika.Azam FC katika kujiandaa na michuano hiyo kisayansi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: MATUKIO YOTE YA NYUMA YA PAZIA TUKIO LA PENATI YA MESSI

Sasa ni dhahiri kwamba Neymar ndiye aliyepaswa kupiga pasi ya penati kutoka kwa Messi badala ya Luis Suarez katika mchezo dhidi ya Celta Vigo uliopigwa katika dimba Nou Camp.Pengine kitu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UAMUZI WA MATOKEO KUNDI C FDL SASA MIKONONI MWA KAMATI YA NIDHAMU

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi ya Ligi (Kamati ya Saa 72) imekutana jana (Februari 16, 2016) kupitia taarifa za mechi mbili za Kundi C la Ligi Daraja la Kwanza ya StarTimes kati ya JKT Kanembwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBABE WA MATAIFA AFRIKA ARUDI MOROCCO

Kocha wa zamani wa Zambia na Ivory Coast Herve Renard, jana ametueliwa kuwa kocha wa timu ya taifa ya Morocco akichukua mikoba ya Badou Zaki.Renard (47) ambaye kwa nyakati tofauti alizipa ubingwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ROONEY PIGO KWA MAN UNITED, ENGLAND

Nahodha wa Man United, Wayne Rooney ameumia. Sasa atakuwa nje kwa mwezi mzima.Kuumia kwake ni hofu kwa Kocha Louis van Gaal wa Man United, pia Kocha Mkuu wa England, Roy Hodgson.Taarifa zinaeleza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: MAGOLI YOTE YA BARCA DHIDI YA GIJON JANA HAYA HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIGHLIGHTS NA MAGOLI YOTE YA MECHI YA JANA KATI YA AS ROMA NA REAL MADRID

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KURASA ZA MICHEZO ZA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI FEB 18, 2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ROY KEANE ASEMA ANGEKUWA ANACHEZA NA HAZARD NINGEMFANYA HILI

Star wa zamani wa EPL Roy Keane ambae alipata mafanikio na club ya Manchester United, havutiwi kabisa na attitude ambayo Hazard anaionyesha ndani ya Chelsea.Hazard anahusishwa sana na habari za kuhama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDIYO TWEET YA OKWI LEO KUHUSU UCHAGUZI MKUU UGANDA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KURASA ZA MICHEZO ZA MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEB 19, 2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: JINSI MAN UNITED WALIVYOLALA 2-1 EUROPA DHIDI YA FC MIDTJYLLAND

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAYANJA AWAPA ONYO SIMBA JUU YA MSUVA

Kocha wa Simba, Jackson Mayanja, raia wa Uganda, amemtaja winga wa Yanga, Simon Msuva ndiye anayemhofia kuelekea katika mchezo huo.Kauli hiyo inaweza kuwashangaza wengi kwa kuwa Amissi Tambwe na Donald...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII SIO TAARIFA NJEMA HATA KIDOGO KWA WANAYANGA

Licha ya Kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm kujaribu kumshawishi nahodha wake na beki tegemeo, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ kufanya mazoezi, mchakato huo umeonekana kuwa mgumu na kuna uwezekano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GARY NEVILLE MENO NJE, VALENCIA YAINYUKA RAPID VIENNA 6-1

Akiwa anatimiza miaka 41 ya kuzaliwa, kocha wa Valencia Gary Neville alishuhudia timu yake ikiitoa kipigo cha mbwa mwizi cha magoli 6-1 dhidi ya Rapid Vienna ya nchini Austria, katika kinyang'anyiro...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA KIPIGO CHA 2-1 KUTOKA KWA MIDTJYLLAND, HII NDIYO KAULI YA VAN GAAL KWA...

Louis van Gaal amekiri kwamba mashabiki wa Manchester United walikuwa sahihi kuwatolea lugha chafu baada ya kupokea kipigo cha magoli 2-1 kutoka kwa FC Midtjylland ya Denmark kwenye michuano ya EUROPA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHEZAJI HUYU WA ARSENAL MBIONI KUONDOKA MWISHONI MWA MSIMU HUU

Gazeti la Evening Standard la nchini Uingereza linaripoti kuwa mlinda mlango wa Arsenal David Ospina yupo tayari kuondoka klabuni.Ospina (27) amecheza michezo 4 tu msimu huu tangu baada ya nafasi yake...

View Article
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live