Quantcast
Channel: MPENJA SPORTS
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF YAVIPA WAKATI MGUMU VIGOGO VPL

KITENDO cha TFF, kurejesha michuano ya Kombe la FA inayotarajiwa kuanza mwezi ujao na kuacha nafasi moja ya uwakilishi wa michuano hiyo ya kimataifa kusalia kwa Bingwa wa Ligi Kuu Bara imeelezwa kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

26 BORA YA WACHEZAJI WENYE UZITO MKUBWA EPL HII HAPA

Martin Olsson (Norwich)Branslav Ivanovic (Chelsea)Lukaku (Everton)NB:BMI-Body Mass Index, vigezo vilivyotumika ni kuangalia ukubwa wa maumbo ya miili yaoWachezaji 26 wa EPL wenye uzito mkubwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Busungu awanyooshea Mwantika, Mao

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Malimi Busungu, amesema beki wa Azam FC, David Mwantika na kiungo Himid Mao, wangemtoa roho kutokana na kumchezea rafu nyingi katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIPO HAPA VIWANJA KUMI VYENYE MVUTO ZAIDI DUNIANI (PICHA)

10. Azteca Stadium, Mexico City, Mexico (watu 104,000)9. San Siro, Milan, Italy ( 80,000)8. The Maracana Stadium, Brazil (78,838)7. Santiago Bernabeu, Spain (85,000)6. Soccer City Stadium, South Africa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CANNAVARO:MKWASA, MWAMBUSI SAAFI

NAHODHA wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, amemchambua kocha mpya msaidizi wa timu hiyo, Juma Mwambusi na kumlinganisha na aliyekuwa kocha msaidizi wa klabu hiyo, Charles Boniface Mkwasa na kusema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAMIS KIIZA 'DIEGO' MWEZI HUU HABARI NYINGINE...

Mshambuliaji wa timu ya Simba, Hamisi Kiiza ndiye mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa mwezi Septemba.Kwa kuibuka mchezaji bora, Kiiza atazawadiwa sh. milioni moja kutoka kwa mdhamini wa Ligi hiyo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMA HUJAPATA RATIBA YA VPL ...NIMEKUWEKEA HAPA..

Ligi kuu ya Vodacom Tanzania (VPL) inatarajiwa kuendelea kesho Jumatano kwa michezo minne kuchezwa katika viwanja tofauti nchini, huku timu 8 zikisaka kupata pointi tatu muhimu.Uwanja wa Taifa jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA VPL YAPANGULIWA...SASA TIMU YAKO KUCHEZA SIKU HII...

Mechi za raundi ya 11 za Ligi Kuu ya Vodacom zilizokuwa zichezwe Novemba 7 na 8 mwaka huu sasa zitafanyika Desemba 12 na 13 kupisha maandalizi ya Taifa Stars ya mechi za mchujo za Kombe la Dunia.Taifa...

View Article


RONALDO SASA KINARA KWA WANASOKA WANAOTAMBA MITANDAO YA KIJAMII

  Staa wa Real Madrid Cristiano Ronaldo sasa rasmi amekuwa mcheza soka mwenye wafuasi wengi zaidi katika mtandao wa Instagram baada ya kumzidi nyota wa Barcelona Neymar ambaye hapo awali ndiye alikuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANDINGWA WALIOWAHI KUCHEZA UEFA WAKIWA NA UMRI MKUBWA ZAIDI HAWA HAPA

Kwa sasa hawapo tena kwenye tasnia hii ya soka, lakini mchengo wao utabaki katika vitabu vya historia. Walijitahidi kadri walivyoweza kuhakikisha timu zao zinafurahia mafaniko iwe kwenye ligi za ndani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZIKI WA YANGA UTAKAOWAVAA TOTO HUU HAPA

LIGI KUU || TZ BARA || 2015/2016.Yanga Afrika Vs Toto Afrika.1. Ali Mustafa Mtinge 'Barthez'2. Juma Abdul Jaffary3. Haji Mwinyi Ngwali Makame4. Kelvin Patrick Yondani 'Vidic'5. Vicente Bossou6. Thabani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

'KIMENUKA' KWA WAGOSI WA KAYA, MAYANJA HANA UGALI TENA....

KIKAO cha Kamati ya Utendaji ya Klabu ya Coastal Union kilichoketi juzi kwa saa tatu kilitoka na mapendekezo wa kuachana na aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo,Jackson Mayanja kutokana na kutokuwepo kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO YA YANGA RAHA TU.....

Simon Msuva (kulia) akipongezwa na wachezaji wenzake Donald Ngoma (kushoto) na Amis Tambwe (katikati)Baad ya kulazimishwa sare ya kufungana kwa goli 1-1 na Azam FC, Yanga wameendeleza wimbi lao la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAHA YA SIMBA MKOANI MBEYA YAINGIA SHUBIRI

Mlinzi wa kushoto wa Simba Mohamed Hussein (kulia) akijaribu kumkabili mchezaji wa Tanzania PrisonsBaada ya kuifunga timu ya Mbeya City, Wekundu wa Msimbazi wameshindwa kutamba leo kwenye uwanja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOURINHO ATUHUMIWA KUMSUKUMA KIJANA WA MIAKA 14 MITAA YA JIJI LA LONDON

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKOSI BORA CHA WIKI CHA UEFA HIKI HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANO SIMBA KITIMOTO

Jonas Mkude LICHA ya kushinda bao 1-0 na kuvunja rekodi ya kutowahi kuifunga Mbeya City tena ikiwa kwenye uwanja wake wa nyumbani, bado Simba haijaridhika na matokeo hayo, badala yake imeamua kuwaweka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADRID WAKUMBWA NA KASHFA YA RUSHWA

Polisi nchini Hispania wanafanya uchunguzi juu ya madai ya mwamuzi msaidizi ambaye inasemekana anapewa msukumo ili aipendelee Real Madrid katika mchezo wa El-Clasico dhidi ya Barcelona utakaopigwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAMFUKUZISHA KOCHA KAZI

KIPIGO cha mabao 4-1 walichokipata timu ya Toto African ya Mwanza kutoka kwa Yanga kimemfanya kocha mzungu wa timu hiyo, Martin Grelics kujiuzulu wadhifa wake.Toto waliokutana na Yanga wiki iliyopita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HANS POPPE AFUNGUKA KUHUSU ‘HIRIZI’ YA PAPE N’DAW

Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Simba Zacharia Hans Poppe ameamua kufunguka juu ya mchezaji raia wa Senegal, Pape Abdoulaye N’daw ambaye amekuwa na vituko katika siku za hivi karibuni, miongoni mwa...

View Article
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live