Quantcast
Channel: MPENJA SPORTS
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ISSA HAYATOU ATAONGOZA KWA SIKU 90 TU, LAKINI MIPANGO YAKE USIPIME...

Rais wa shirikisho la soka barani Afrika,CAF, Issa Hayatou kutoka Cameroon amepewa jukumu la kuongoza kwa muda shirikisho la soka duniani FIFA.Hayatou atachukua usukani kufuatia kusimamishwa kazi kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIO BLATTER TU, CHEKI BALAA LILILOWAKUMBA MAAFISA WA FIFA

Pichani chini ni 'balaa' lililowakumba viongozi wa FIFA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALINA MJADALA TENA, LAZIMA LIONEL MESSI NA BABA YAKE WASHTAKIWE...

Baba yake Lionel Messi, JorgeJaji mmoja nchini Uhispania ameagiza kwamba nyota wa timu ya Barcelona na Argentina Lionel Messi, ni sharti ashtakiwe kwa mashtaka ya kuibia mamlaka ya ushuru zaidi ya dola...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKI KIFAA MAALUM ANACHOTUMIA MESSI ILI AWAHI KUREJE DIMBANI...

Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi sasa anatumia kifaa maalum ili kupunguza ukali wa maumivu yake ili aweze kurejea nyumbani mapema zaidi.Messi anatakiwa kurejea uwanjani baada ya wiki nane,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HILI LIMETOKEA JANA HUKO LIVERPOOL...KAMA ULILALA HUJACHELEWA....

Jurgen Klopp amesaini kandarasi ya miaka mitatu usiku wa jana kuwa kocha mkuu wa klabu ya Liverpool na amepewa jukumu la kurejesha makali ya majogoo wa jiji katika michuano mikubwa ya Ulaya.Klopp...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANENO YA MABOSI BAADA YA TFF KUSAINI MKATABA NA STAR TV WA KUONESHA FDL

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) jana limeingia mkataba wa miaka mitatu wenye thamani ya shilingi milioni mia nne hamsini (450,000,000), na kituo cha luninga cha Star Tv kurusha matangazo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANDINGA 10 WANAOONGOZA KWA MKWANJA ULIMWENGUNI HAWA HAPA

Wote kwa pamoja Lionel Messi na Cristiano Ronaldo ni miongoni mwa wachezaji wanaounda kumi bora ya wachezaji wanolipwa vizuri zaidi ulimwenguni.Jarida la Forbes lilitoa orodha ya mwaka ya wacheza soka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YAMTUNUKU MWAMBUSI

Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi. YANGA inasaka Kocha Msaidizi ambaye ni kiboko ya Simba  atakayekuwa mkali zaidi ya Boniface Mkwassa aliyepata ajira ya kuifundisha Taifa Stars.Ni kwamba muda wowote...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANASOKA WATANO MAARUFU AMBAO POMBO ILIUA KABISA VIPAJI VYAO VYA SOKA

Mchezaji huyu wa zamani wa Manchester United star hahitaji utambulisho mkubwa kutokana na kile alichokifanya akiwa na klabu ya Mashetani Wekundu. Ameshinda Kolbe la Ulaya (kwa sasa Ligi ya Mabingwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENGER NA MOURINHO HAWAPATANI?, KWA NINI?CECH ANA JIBU HILI HAPA

Mlinda lango wa Arsenal Petr Cech, amesema kuwa kocha wake Arsene Wenger na hasimu wake Jose Mourinho mara zote wamekuwa wakiingia katika migongano kutokana na na wote kuwa na hulka zinazofanana.Wenger...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA KUACHIA MIKOBA YANGA, HII NDIO KAULI YA MKWASA KWAO

Kocha wa Taifa Stars , Boniface Mkwasa SIKU chache tu tangu apewe kibarua cha muda mrefu cha kuinoa Taifa Stars, Kocha Boniface Mkwasa, ameikumbuka klabu yake ya zamani, Yanga, akisema kuwa hataisahau...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKALI WATATU AMBAO MESSI NA RONALDO WASIPOKUWA MAKINI TU, BASI REKODI ZAO...

Najua ni jinsi gani nama kulivyo na ugumu kuanzisha majadiliano haya, ukizingatia kwamba mastaa hawa wawili bado wana njaa ya mafanikio, lakini ishara zinaweza kuonekana japo kwa mbali, hivyo basi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JULIO ABWATA KUHUSISHWA NA YANGA

KOCHA maarufu nchini, Jamhuri Kihwelu ‘Julio’, amesema kamwe hawezi kuhusishwa na mpango wa kuifundisha Yanga kutokana na imani potofu iliyojengeka miongoni mwa wapenzi wa klabu hiyo na hata wale wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWAMBUSI BADO MAMBO MAGUMU YANGA

WAKATI kukiwa na tetesi za Kocha Mkuu wa Mbeya City, Juma Mwambusi kutua Yanga, imeelezwa kuwa mtaalamu huyo ametoa masharti mazito kwa uongozi wa timu hiyo ya Jangwani.Mwambusi anaonekana kupewa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA RASMI KUTOKA KLABU YA MBEYA CITY KUHUSU MWAMBUSI

Aliyekuwa kocha wa Mbeya City fc, Juma MwambusiLeo tarehe 10/10/2015 saa 8:15 mchana Kocha Mkuu wa Mbeya City Fc, Juma Mwambusi, alikutana kwa dharula na mtendaji Mkuu wa klabu (Katibu Mkuu) kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

STARS HIYOO RAUNNDI YA PILI, YAFUNGWA LAKINI YAFUZU

Pamoja na kufungwa bao 1-0 na Malawi, timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeafanikiwa kufuzu raundi ya pili ya michuano ya kufuzu kombe la dunia, mchezo uliopigwa katika dimba la uwanja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAULI YA FERGUSON JUU YA MUSTAKABALI WA ARSENAL BAADA YA ARSENE WENGER

Licha ya uhasimu wao mkubwa enzi zake akiwa kocha wa Manchester United, Sir Alex Ferguson amempongeza Arsene Wenger kwa kuendelea kubaki kuwa meneja wa Arsenal kwa kipindi kirefu.Wenger ambaye siku za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAMATTA, ULIMWENGU WAOMBA BENDERA YA TAIFA

Umewahi kuwaona wachezaji wa mataifa mbalimbali duniani wakijifunika bendera za nchi zao baada ya kutwaa ubingwa fulani wakiwa na klabu wanazochezea ugenini? Ndicho anachotaka kufanya Mbwana Samatta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALLARDYCE AWANANGA WENGER, BENITEZ

Sam Allardyce na Arsene Wenger wakisalimiana katika moja ya matukio ya mechi walizowahi kukutana.Sam Allardyce amekiri kuwa alikuwa akifurahi sana pale ambapo alipokuwa akimfunga Arsene Wenger ambaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKALI WA WIKI LIGI KUU UINGEREZA HAWA HAPA

View Article
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live