Quantcast
Channel: MPENJA SPORTS
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO YA SUPER MARIO BALOTELLI USIPIME....

Mario Balotelli hana nafasi katika kikosi cha Liverpool kinachofundishwa na Brendan Rodgers na katika ziara ya maandalizi ya msimu mpya, Muitalia huyo aliachwa akifanya mazoezi binafsi.Jana wakati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUWA WA KWANZA KUJUA KILICHOMTOKEA MOURINHO KWENYE MITANDAO YA KIJAMII....

Jose Mourinho alimaliza wiki kwa uchungu zaidi baada ya jana kulala 3-0 dhidi ya Manchester City katika uwanja wa Etihad.Kufuatia kumshambulia hadharani daktari wa timu, Eva Carneiro na mtaalam wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAHEEM STERLING 'AKOPI' NA 'KUPESTI' KUTOKA KWA CRISTIANO RONALDO...

Raheem Sterling tayari amezoea maisha ya Manchester City akitumia jezi yake mpya namba 7 katika uwanja wa Etihad.Nyota huyu aliyesajiliwa kutoka Liverpool kwa paundi milioni 49 ameanzisha logo yake ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUB YA JOHN TERRY YAWAGAWA WACHAMBUZI, WEWE UNASEMAJE?

Graeme Souness amepinga mawazo ya mchambuzi mwenzake wa soka anayedai kwamba kitendo cha John Terry kutolewa jana katika mechi dhidi ya Manchester City ni kumtaarifa mmiliki wa klabu hiyo, Roman...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FAHAMU MUDA AMBAO BARCELONA WANAJARIBU KUPINDUA KIPIGO CHA 4-0

Baada ya kushinda 5-4 dhidi ya Sevilla na kutwaa ubingwa wa Uefa Super Cup katika mechi ya fainali iliyopigwa nchini Georgia Jumanne iliyopita, Barcelona walijikuta wakichezea kichapo cha 4-0 kutoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKOSI CHA LIVERPOOL KINACHOWEZA KUANZA LEO DHIDI YA AFC BOURNEMOUTH

 Liverpool wanachuana na AFC Bournemouth katika mechi pekee ya ligi kuu England inayopigwa leo kuanzia majira ya saa 4:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki.Kocha mkuu wa Majogoo wa Jiji,  Brendan...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ISOME AYA MOJA YA STRAIKA MPYA WA SIMBA KELVIN NDAYISENGA

Moja ya wachezaji waliotikisa vicha vya habari za michezo mwishoni mwa Juma lililopita ni Straika mpya wa Simba, Kelvin Ndayisenga,  raia wa Burundi.Nyota huyo alifunga goli lake la kwanza Jumamosi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAM WANAWEZA KUJIBU MAPIGO YA YANGA LEO?

Yanga jana imewatumia salamu Azam FC waliopiga kambi visiwani Zanzibar baada ya kuifunga 3-2 Mbeya City FC katika mechi ya kirafiki iliyopigwa uwanja wa Sokoine Mbeya.Mabingwa hao wa kandanda Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

USIYOYAFAHAMU KUHUSU WACHEZAJI 10 BORA WA SOKA KWA WAKATI WOTE

Na Oswald NgonyaniMchezo wa mpira wa miguu maarufu kwa jina la soka bado umeendelea kuwa mchezo pendwa zaidi kuliko michezo yote inayochezwa juu ya uso wa dunia. Umaridadi wa wenye kuucheza mchezo huu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA SC: TIMU YENYE REKODI NZURI KIMATAIFA, ISIYO NA JIPYA KWA SASA

Na Oswald NgonyaniMashabiki wengi wa Timu ya Simba hawana furaha kwa sasa. Hawawezi kuwa na furaha kwa sababu timu yao wanayoipenda kwa dhati ya mioyo yao imeshindwa kabisa kuwapa raha wanayoihitaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SOMA ALICHOSEMA RAMOS BAADA YA KUANGUKA MKATABA MPYA REAL MADRID....

"Sikuwahi kutaka kuondoka" asema RamosBeki wa Real Madrid Sergio Ramos amesema hakuwahi kutaka kuondoka Bernabeu, licha ya taarifa kadhaa kumhusisha kuhamia Manchester United. Ramos, ambaye amesaini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAULI YA MANJI BAADA YA KUKATWA UDIWANI MBAGALA KUU

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ambaye amekatwa kuwania udiwani Mbagala Kuu, amesema alikuwa ni mgonjwa.Manji ambaye ameshinda kwa kura nyingi katika kura za maoni, lakini akaenguliwa kwa madai hakuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOTO YASAJILI MCHEZAJI WA RUVU SHOOTING MWENYE MKATABA..

Baadhi ya wachezaji wa kikosi cha Ruvu ShootingUngozi wa klabu ya soka ya Ruvu Shooting umesema unasikitishwa na klabu ya Toto Africans ya jijini Mwanza kwa kumsajili mchezaji Hamis Seleman wa Ruvu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAANIKA HATMA YA KITASA CHAO KUTOKA TOGO....

Bossou (kulia) akimdhibiti Didier Drogba kwenye moja ya mechi waliyochuana Mabingwa wa kandanda Tanzania bara wameridhika na kiwango cha beki wao mpya, Vincent Bossou kutoka Togo na wanatarajia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SOMA KILICHOWAKUMBA TAMBWE, CANNAVARO, JOSHUA

Uongozi wa Yanga SC umefurahishwa na kambi ya siku nane waliyoweka mkoani Mbeya, huku wakicheza mechi tatu za kirafiki ambazo wameshinda zote.Yanga walianza kushinda 4-1 dhidi ya Kimondo FC, wakaichapa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFFICIAL: SIMBA NA IVO MAPUNDA WAFIKIA MAAMUZI MAGUMU

Ivo (kulia) alikuwa mwalimu mzuri wa Manyika Peter Jr (kushoto)Wekundu wa Msimbazi Simba SC, rasmi wameachana na golikipa wao mkongwe, Ivo Philip Mapunda wakidai kwamba hakutoa ushirikiano wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALICHOSEMA MWAMBUSI BAADA YA KUDUNDWA 3-2 NA YANGA SC

Licha ya kufungwa 3-2 na Yanga SC katika mechi ya kirafiki iliyopigwa jana uwanja wa Sokoine, Mbeya, kocha mkuu wa Mbeya City FC, Juma Mwambusi ameridhishwa na kiwango cha wachezaji wake wapya.“Bado...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMAYE AZAM FC YAJIBU MAPIGO YA YANGA ...

Azam FC wameshinda mechi ya tatu mfululizo ya kirafiki visiwani Zanzibar baada ya usiku huu kuichakaza 2-0 JKU ya visiwani humo.Magoli ya Azam yamefungwa na John Raphael Bocco 'Adebayor' na  Salum...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PATA MATOKEO, TAKWIMU BENTEKE AKIFUNGUA AKAUNTI YA MAGOLI LIVERPOOL

Majogoo wa Jiji Liverpool wameibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya AFC Bournemouth katika mechi pekee ya ligi kuu ya England iliyomalizika usiku huu uwanja wa Anfield.Bao pekee la kikosi hicho cha Brendan...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA NA VIDEO: GOLI LA BENTEKE LAMKERA GARY NEVILLE

Gary Neville ameponda makosa endelevu ya kushindwa kutafsiri sheria mpya ya kuotea katika michuano ya ligi kuu England kufuatia Liverpool kupewa goli lisilostahili kwenye mchezo wa EPL uliopigwa Jana...

View Article
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live