Quantcast
Channel: MPENJA SPORTS
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAMATTA AKATAA BONGE LA OFA, YEYE ANATAKA HII…

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anaekipiga kwenye klabu ya TP Mazembe ya Congo  Mbwana Samatta amedhihirisha kwamba anataka kucheza soka barani Ulaya baada ya kuikataa ofa ya miamba ya soka la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

STAND UNITED YAANGUSHA MZUNGU WA SIMBA

 Liewig (kushotoKlabu ya Stand United ya Shinyanga inayoshiriki ligi kuu soka Tanzania bara imeingia mkataba wa miaka miwili na kocha wa zamani wa Simba, Mfaransa, Patrick Liewig.Liewig amesaini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SCHWEINSTEIGER APAGAWA NA KINDA HUYU WA MAN UNITED

Bastian Schweinsteiger amemuelezea mchezaji mwenza wa Manchester United Memphis Depay kama "kipaji kisichoelezeka", baada ya kumuona katika mchezo wake wa kwanza kwenye mechi maandalizi ya msimu mpya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 4 LIVERPOOL IKIMDUNDA MTU AUSTRALIA

Liverpool  imeshinda mechi ya tatu mfululizo katika ziara yake Mashariki ya Mbali na Austaria baada ya kuichapa 2-0 Adelaide United katika mechi ya kirafiki iliyopigwa mchana huu ikiwa ni maandalizi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFFICIAL: FIFA YATANGAZA TAREHE YA UCHAGUZI MKUU KUMPATA MRITHI WA SEPP BLATTER

Shirikisho la soka Duniani, FIFA limetangaza kwamba uchaguzi mkuu wa Rais utafanyika Februari 26 mwakani.Maamuzi haya yamefanyika leo katika kikao cha kamati ya utendaji ya Shirikisho hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKOSI CHA KMKM KINACHOWAVAA WABABE WA YANGA HIKI HAPA....

Kikosi cha KMKM kilichoanza;Nassor Abdulla Nassor (GK 1)Khamis Ali Khamis (Captain)Tizzo Charles ChombaPandu Haji PanduSaid Idrissa SaidMussa Said AthumanMateo Antony SaimonJuma Mbwana FakiFaki Mwalimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAREFA WALIOTEULIWA KUCHEZESHA EPL MSIMU WA 2015-16

Kuna jamaa mmoja kanipigia simu ila mtandao huku kwetu Monduli juu unasumbua sana!! lakini kwa mbaali nilimskia akisema, "....watajutiamaamuzi yao..." lakini simu yake ilikuwa inakata kata sana. Lengo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAULI ZA WANASOKA MAARUFU DHIDI YA CRISTIANO RONALDO

Bado hapa Monduli mtandao unasumbua sana!!! Kuna jamaa mmoja kanipigia tena ila simu yake inakata kata sana!!! kabla hajakata simu, kwa taaabu nikasikia ametaja ...Dodoma... Lowasa... nikahisi alitaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADHI YA KAULI ZA WANASOKA KUHUSU LIONEL MESSI

Piga hesabu kuanzia sasa unaposoma habari hii kurudi nyuma hadi miezi 7 au 8 iliyopita utakubaliana na mimi kuwa.... Zito Kabwe na Edward Lowasa inawezekana ndio Wanasiasa wanaotajwa sana hapa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NJEMBA YAVAMIA MKUTANO WA SEPP BLATTER NA KUMFANYIA 'UHUNI'...

Wakati Shirikisho la soka Duniani, FIFA likitangaza leo kwamba Februari 26 mwakani ndio siku ya uchaguzi mkuu wa Rais, limetokea tukio la aina yake katika mkutano wa Sepp Blatter na Waandishi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MESSI AZINDUA UWANJA WA GABON2017

Mshindi wa tuzo la mchezaji bora duniani mara nne ,Lionel Messi, amekutana na rais wa Gabon Ali Bongo Ondimba.Mchezaji wa Argentina na mabingwa wa ligi kuu ya Ulaya Barcelona aliweka jiwe la msingi la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STRAIKA WA GOR MAHIA ANAYEWATOA UDENDA YANGA, SIMBA AFANYA BALAA WAKIICHINJA...

Kikosi cha Gor MahiaGor Mahia imekuwa timu ya kwanza kutinga kwenye hatua ya robo fainali kwenye michuano ya Kagame Cup baada ya kuibuka na ushindi kwenye michezo yake miwili kwenye Kundi A, kundi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA WATOSE WENYEWE, GOLIKIPA HUYU 'MAHABA NINYONGE'....

Golikipa wa Gor Mahia na timu ya taifa ya Kenya Boniface OluochiBaada ya klabu ya Simba kutangaza nia ya kutaka kumsajili mlinda mlango wa timu ya Gor Mahia ya Kenya Boniface Oluochi, kipa huyo amesema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OLUNGA ATOA KAULI BAADA YA KUTIKISA KAGAME, GOR MAHIA WASEMA SIMBA, YANGA...

Mshambuliaji hatari wa timu ya Gor Mahia na timu ya Taifa ya Kenya,  Michael Olunga baada ya jana kutupia goli mbili wakati timu yake ikicheza na KMKM na kuisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa goli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAPANGA MUZIKI WA NGUVU KUKWEPA JEURI YA WALIOKULA MKONO......

Baada ya kuanza vibaya Kombe la Kagame wakifungwa magoli 2-1 na Gor Mahia ya Kenya, mabingwa wa Kandanda Tanzania bara, Young Africans wana matumaini ya kuibuka na ushindi katika mechi ya pili dhidi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATAJIRI WA UFARANSA WANASA MIDO KISHETI KUTOKA PREMIER LEAGUE...

Matajiri wa Ufaransa,  PSG mapema leo wametangaza kukamilisha usajili wa  Benjamin Stambouli kutokea klabu ya Tottenham.Mabingwa hao wa kandanda wa ligi kuu ya Ufaransa, Ligue 1 wamesema kiungo huyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA KUMWAGA 'MAPESA' KWA MASTAA KAGAME

UONGOZI wa Yanga umepanga kung’oa wachezaji watakaoonyesha kiwango cha juu kwenye michuano ya Kombe la Kagame inayoendelea jijini Dar es Salaam kwa gharama yoyote bila kujali anatoka timu gani.Kauli...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZIKI WA AZAM UTAKAOPAMBA NA MALAIKA HUU HAPA

1.Manula Aishi salum 2.Shomari Kapombe 3.Kamagi Gadiel4.Agrey Morris5.Pascal wawa6.Kheri Abdallah7.Jean Mugiraneza8.Domayo Franky9.Salum Aboubakar10. John bocco11.Ammy AliSub 1.Mwadini Ali2.Kipre...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUHUSU OLUNGA KUHUSISHWA NA SIMBA, KASEKE AMESEMA HAYA.....

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Deus Kaseke, amesema kuwa iwapo Simba itafanikiwa kuinasa saini ya straika wa Gor Mahia ya Kenya, Michael Olunga, itakuwa imelamba dume kwani ataziba pengo la Mganda,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DONE DEAL: AZAM FC YASHUSHA KIFAA KILICHOWAUA LIGI YA MABINGWA

Makamu bingwa wa ligi kuu soka Tanzania bara, Azam FC wameendelea kujiimarisha wakati huu wa usajili wa majira ya kiangazi baada ya mchana huu kumsainisha Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Kenya, Allan...

View Article
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live