Quantcast
Channel: MPENJA SPORTS
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1447

PICHA 4 LIVERPOOL IKIMDUNDA MTU AUSTRALIA

$
0
0
Liverpool  imeshinda mechi ya tatu mfululizo katika ziara yake Mashariki ya Mbali na Austaria baada ya kuichapa 2-0 Adelaide United katika mechi ya kirafiki iliyopigwa mchana huu ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya.

Magoli ya Liverpool yamefungwa na James Milner na Danny Ings.

Ings amefunga goli lake la kwanza tangu ajiunge na Liverpool kutoka Burnley, wakati Milner amefunga  la pili wakati huu wa maandalizi ya msimu mpya.
James Milner (left) makes contact with Jordon Ibe's cross to score his second goal in as many games to put Liverpool 1-0 up 
James Milner (kushoto) akimalizia krosi ya Jordon Ibe na kufunga goli la kuongoza kwa Liverpool
Jordan Ibe (left) congratulates the England midfielder (second right) after scoring Liverpool's opener against the A-League side on Monday
Jordan Ibe (kushoto) akimpongeza Milner (wa pili kulia) baada ya kufunga goli leo
There were 53,000 people inside the Adelaide Oval for Liverpool's pre-season friendly against Adelaide United
Mashabiki 53,000 wametazama mechi hiyo..

Viewing all articles
Browse latest Browse all 1447

Trending Articles