Quantcast
Channel: MPENJA SPORTS
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1447

HII HAPA STORI KUBWA MANCHESTER UNITED WAKINYOLEWA NA PSG

$
0
0
Zimesalia siku tisa tu kuanza kwa ligi kuu soka England (EPL) msimu wa 2015/2016 na timu zote zipo hatua ya mwisho ya maandalizi.
Manchester United wataanza kurusha karata ya kwanza dhidi ya Tottenham Agosti 8 mwaka huu.
PSG striker Zlatan Ibrahimovic (left) tucks the ball past David de Gea from close range to put his side 2-0 up against Manchester United
David De Gea amekuwa akihusishwa sana kuhamia Real Madrid,  ingawa United wanabania dili hili.
Alfajiri ya leo, Mashetani wekundu wamefungwa magoli 2-0 na miamba ya Ufaransa, Paris Saint-Germain (PSG) katika mechi ya mwisho ya International Champions Cup kujiandaa na msimu mpya iliyopigwa mjini Chicago, Marekani. 
De Gea amecheza chini ya kiwango na kocha wa Man United, Louis van Gaal alimtoa baada ya dakika 45 za kipindi cha kwanza.
Kutokana na hali hii, Van Gaal sasa anawaza mawili, amruhusu aende Real Madrid au ampe mkataba mwingine, lakini ajue kwamba ana golikipa ambaye anaonekana kukosa 'focus' na timu kwasasa.
Ibrahimovic celebrates after combining with team-mate Maxwell to double his side's advantage after 34 minutes at Soldier Field in Chicago
Magoli ya PSG yamefungwa na Blaise Matuidi dakika ya 25 na Zlatan Ibrahimovic dakika ya 34.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 1447

Trending Articles