RAFAEL NADAL AVURUMISHWA NJE MICHUANO YA WIMBLEDON
Nadal (kulia) na Brown (kushoto) wakipeana mikono baada ya mchezoNa Ramadhani Ngoda.Katika hali ya kushangaza na isiyotarajiwa na wengi, moja ya nyota wa tenisi aliyekuwa akipewa nafasi ya kufika mbali...
View ArticleCANNAVARO ANENA HAYA JUU YA TUHUMA ZA STARS KUTOFANYA VIZURI KUTOKANA NA...
Kumekuwa na taarifa mbalimbali mitandaoni zikiwahukumu wachezaji wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kutojua lugha ya kingereza, kwamba, ndio chanzo kilichopelekea kutofanya vizuri uwanjani, kutokana na...
View ArticleDEMBA HUYOO UCHINA
Demba BaMshambuliaji wa kimataifa wa Senegal Demba Ba amejiunga na timu ya Shanghai Shenhua akitokea timu ya Besiktas ya Uturuki.Ba mwenye umri wa miaka 30 alikua anatarajiwa kurudi katika ligi kuu ya...
View ArticleOKWI, MAVUGO WAMVURUGA KERR
EMMANUEL Okwi, Laudit Mavugo anayetajwa kuwa miongoni mwa wachezaji wapya wa Simba na wengineo, wameonekana kumvuruga Kocha Mkuu wa timu hiyo, Dylan Kerr ambaye ameshindwa kuanza programu yake kamili...
View ArticleMSERBIA WA SIMBA APIGA MARUFUKU VYAKULA HIVI....
KOCHA wa viungo wa Simba, Mserbia Dusan Mumcilovis, ameshangazwa na kitendo cha wachezaji wa timu hiyo kulishwa wali mweupe kwa maharage, akitaka wapewe vile vinavyofaa kutumiwa na wanamichezo kama...
View ArticleWEST BROM WAAMUA KUJA KIVINGINE UTAMBULISHO WA JEZI ZAO MPYA, NIMEKUWEKEA...
Ni wakati ambao msimu mpya wa EPL unakaribia kuanza, hivyo timu nyingi zipo katika harakati za kuzindua jezi zao mpya kwa ajili ya msimu utakaoanz ahivi karibuni.Wakati baadhi ya vilabu vikitumia muda...
View ArticleTERRY APIGA PICHA LA KABATI LENYE MAKOMBE YOTE ALIYOWAHI KUCHUKUA NA KUWEKA...
Haya ndio makombe ambayo Terry ameweza kujinyakulia katika kipindi chote ambacho ameichezea Chelsea.Akiwa katika kipindi hiki cha mapumziko, nahodha wa Chelsea John ametumia likizo yake hii...
View ArticleMJUE MUUAJI WA YANGA ALIYETUA JKT RUVU....
Amour Omary Janja (kulia)Na Bertha Lumala, Dar es SalaamKUANZIA leo tutakuwa kila siku tunawaletea wasifu wa mchezaji mmoja anayecheza Tanzania. Leo tunaanza na Amour Janja, mshambuliaji hatari...
View ArticleSAFARI YA MATUMAINI YA CHARLES MKWASA NCHINI UGANDA
Na Bertha Lumala, Dar es Salaam CHAN 2016 QUALIFIER (Return Leg):On Saturday, 4th July 2015Uganda Vs Tanzania – (Uganda won 1st Leg 3-0)Nakivubo Stadium, 4:00 p.mViingilio: 10,000/= (Ordinary),...
View ArticleWAPINZANI WA YANGA KAGAME CUP WANATISHA
Kikosi cha Gor MahiaNa Bertha Lumala, Dar es SalaamMABINGWA wa Ligi Kuu ya Kenya (KPL) Gor Mahia wana nafasi kubwa ya kufanya vizuri katika hatua ya mtoano ya michuano ya Kombe la Kagame itakayofanyika...
View ArticleSIMBA YAWA YA KISASA!, YAZINDUA HUDUMA MPYA YA SIMBA NEWS
Tovuti rasmi ya Simba imeripoti kwamba Simba Sports Club kwa kushirikiana na Kampuni ya Tigo Tanzania zimezindua huduma ya ujumbe mfupi ijulikanayo kama ‘SIMBA NEWS’, ambayo lengo lake nikuwapatia...
View ArticleBACARY SAGNA ANAPOKULA BATA NA MWANDANI WAKE NI MTULIVU MNO!
Mlinzi wa kulia wa Manchester City, Bacary Sagna ameanza mazoezi katika fukwe za bahari mjini Miami akijiwinda na msimu mpya kabla ya kuungana na wenzake.Sagna ameungana na mke wake Ludivine ambapo...
View ArticleYANGA YASHIKWA PABAYA USAJILI WA MWASHIUYA, KIMONDO FC WAONESHA MKATABA WAKE
Mkataba wa Mwashiuya na Kimondo FCNa Bertha Lumala, MbeyaMWAKA huu wa Yanga na Kimondo FC! Ni mwaka wao huu! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya leo uongozi wa Kimondo FC kuwaonesha waandishi wa habari...
View ArticleKOCHA MBEYA CITY ATUA KIMONDO FC
Mwalwisi (kushoTo) akisaini mkatabaNa Bertha Lumala, MbeyaKOCHA mkuu msaidizi wa zamani wa Mbeya City, Maka Mwalwisi ametua katika klabu ya Kimondo baada ya leo kusaini mkataba wa miaka miwili...
View ArticleNGOMA WA YANGA AENDA ZIMBABWE KUAGA
Na Bertha Lumala, Dar es SalaamMSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Donald Ngoma ameondoka nchini kurejea kwao Zimbabwe kwa ajili ya kuagana na timu yake ya zamani FC Platinum kabla kurejea nchini Jumapili kwa...
View ArticleTAIFA STARS, THE CRANES KESHO MOTO KUWAKA NAKIVUBO, MKWASA ATOKA KAULI HII....
Taifa Stars inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premieum Lager kesho jumamosi saa 10 kamili kwa saa za Afrika Mashariki itashuka dimba la Nakivubo kucheza na wenyeji Uganda.(The Cranes).Mecho hiyo ya...
View ArticleDEAL DONE: HAMIS KIIZA AANGUKA MIWILI SIMBA SC
Baada ya kufuzu vipimo Mshambuliaji Hamisi Kiiza amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Simba ya Dar es Salaam.Kiiza ambaye ni mshambuliaji wa zamani wa Yanga aliwasili jana akitokea nchini Uganda...
View ArticleYALIYOSHIKA HATAMU KATIKA VICHWA VYA HABARI ZA MAGAZETI MICHEZO ULAYA LEO...
Manchester United hawatobadili msimamo wao kuhusu bei ya pauni milioni 35 waliyoweka kwa kipa David De Gea licha ya taarifa kutoka Spain zinazosema Old Trafford wameshusha bei hadi pauni milioni 25...
View ArticleTAIFA STARS SUPPORTERS WAKO NJIANI KWENDA KUKINUKISHA UGANDA
Mechi kati ya Taifa Stars na The Cranes( Uganda) itapigwa ndani ya jiji la Kampala jumamosi hii majira ya Saa kumi kamili jioni katika ule uwanja maarufu sana nchini Ugana na Afrika mashariki kwa...
View ArticleHIZI NI HABARI NJEMA KWA CHELSEA
Chelsea wamethibitisha kumsajili mshambuliji wa Kolombia Radamel Falcao kwa mkopo wa msimu mzima kutoka klabu ya Monaco.Falcao,29, msimu uliopita alikipiga kwa mkopo kwa mashetani Wekundu klabu ya...
View Article