Quantcast
Channel: MPENJA SPORTS
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIKETI ZA YANGA vs AZAM FC KUUZWA ENEO HILI....

Mchezo wa Ngao ya Jamii kuashiria kufunguliwa kwa pazia la Ligi Kuu ya Vodacom nchini (VPL) utachezwa kesho jumamosi katika uwanja wa Taifa saa 10 kamili jioni, ambapo utazikutanisha timu za Azam FC...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIRISHA LA USAJILI BONGO LAPIGWA KUFULI....

Boniface Wambura, Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya LigiDirisha la usajili kwa vilabu vya Ligi Kuu nchini (VPL), Ligi Daraja la Kwanza (FDL) na Ligi Daraja la Pili (SDL) limefungwa jana ambapo vilabu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII HAPA ORODHA YA WACHEZAJI WA TAIFA STARS WANAOKWENDA UTURUKI

Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro, Charles Mkwasa ametoa orodha ya wachezaji 22 watakaosafiri usiku wa jumapili kuelekea nchini Uturuki kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF YATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI MSIBA WA MWAMUZI....

Katibu mkuu wa TFF, Celestine MwesigwaShirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetuma salam za rambi rambi kwa chama cha mpira wa miguu mkoa wa Pwani (COREFA) kufuatia kifo cha mwamuzi mstaafu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DRFA WAKAIDI AGIZO LA TFF MCHANA KWEUPE....

Rais wa TFF, Jamal MalinziKamati ya uchaguzi ya chama cha soka mkoa wa Dar e salaam DRFA,imeshindwa kutekeleza agizo lililotolewa na mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi ya shirikisho la mpira wa miguu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKOCHA MNAOTAKA LESENI C YA CAF MMEITWA KULIPA ADA....

Washiriki wa kozi ya ukocha kwa ngazi ya leseni ‘C’ iliyoandaliwa na shirikisho la soka barani afrika CAF pamoja na chama cha soka mkoa wa Dar es salaam DRFA,ambayo inayotarajiwa kuanza tarehe 28/ 08/...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATOLA, MAYAY WAKUMBUSHENI WENZENU HAWA KULIPA ADA....

Washiriki hawa wa kozi ya ukocha kwa ngazi ya leseni ‘C’ iliyoandaliwa na shirikisho la soka barani afrika CAF pamoja na chama cha soka mkoa wa Dar es salaam DRFA,ambayo inayotarajiwa kuanza tarehe 28/...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSHAMBULIAJI WA SENEGAL ATUA MSIMBAZI KWA MAJARIBIO

Niang akipokea simu mara baada ya kuwasili kwenye hoteli aliyofikia jijini Dar es SalaamMshambuliaji raia wa Senegal Papa Niang ameshawasili jijini Dar es Salaam leo taayari kwa ajili ya kuanza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YAMPA PAPA NIANG SIKU HII AAMUE MWENYEWE....

Mshambuliaji Papa Niang amepewa Jumatatu kama nafasi ya kuwadhihirishia Simba kwamba ana uwezo na atakuwa msaada, hivyo chaguo lake, ashindwe arudi Senegal, afanye vitu apande meli ya Simba.Niang raia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MONACO NA CELTIC NJE KLABU BINGWA ULAYA, MAN UNITED KURUSHA KETE LEO...

Usiku wa kuamkia leo timu kadhaa za soka barani Ulaya zilishuka dimbani kutafuta tiketi ya kufuzu kuingia katika hatua ya makundi kwenye mashindano ya klabu bingwa barani humo.Monaco ya Ufaransa,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAM FC, MWADUI FC USO KWA USO....

Azam FC na timu mpya ya ligi kuu Tanzania bara, Mwadui FC ya Shinyanga leo usiku zinakwaana katika mchezo wa kirafiki unaopigwa uwanja wa Azam Complex.Mechi hiyo itaanza majira ya saa 1:00 usiku kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA MBAYA KWA MASHABIKI WA TAIFA STARS

Salehjembe ameripoti kwamba kiungo wa Simba, Abdi Banda anayekipiga katika kikosi cha Taifa Stars ameumia akiwa mazoezini mjini hapa nchini Uturuki.Banda ameumia wakati wa mazoezi ya kukimbia kwa kasi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REKODI MPYA YA HISPANIA LIGI YA MABINGWA HII HAPA

Hispania imekuwa nchi ya kwanza kuwa na timu tano zilizofuzu katika hatua ya makundi ya michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya baada ya Valencia kuwatungua Monaco kwa uwiano wa mabao 4-3 katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA KOMBE LA CAPITAL ONE RAUNDI YA TATU HII HAPA, ARSENAL, SPURS KAZI IPO

Middlesbrough v WolvesNorwich v West Brom or Port ValeHull v SwanseaLeicester v West HamASTON VILLA v BIRMINGHAM CITYTOTTENHAM v ARSENALMANCHESTER UNITED v IPSWICH TOWNLIVERPOOL v CARLISLE...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIMEKUWEKEA HAPA ORODHA YA VIUNGO BORA KUMI ULIMWENGUNI

10. Arturo Vidal –Bayern Munich9. Juan Mata –Manchester United8. Luka Modric –Real Madrid7. Yaya Toure –Manchester City6. Angel Di Maria –PSG5. Paul Pogba – Juventus4. David Silva –Manchester City3....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAWA NDIO WACHEZAJI KUMI TAJIRI KATIKA ULIMWENGU WA SOKA

10. THIERRY HENRYYuro milioni 479. GIANLUIGI BUFFONYuro milioni 52 8. ZLATAN IBRAHIMOVICYuro milioni 57 7. RONALDINHOYuro milioni 64 million6. NEYMAR JR.Yuro milioni 66 5. RICARDO KAKAYuro milioni 67.5...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REDKNAPP AZIDI KUSHINDILIA MSUMARI WA MOTO KWA MASHABIKI WA ARSENAL, HII NDIO...

Kocha za zamani wa Tottenham, Harry Redknapp amesema timu ya Arsenal inahitaji kusajili wachezaji watatu muhimu msimu huu kama wanahitaji kushinda taji la Premier League.Redknapp amesema hayo baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO:WENGER AIBUKA MSHINDI DHIDI YA ARTETA NA WALCOTT KWA KUFUNGA 'DIZZY GOALS'

Arsenal ndio klabu ambayo imeanza na mfumo wa mazoezi ya kufunga magoli baada ya wachezaji kuwa na kizunguzungu .Mfumo huo unahusisha kuuzunguka mpira mara 13 kabla ya kwenda kupiga penati na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BONDIA LULU KAYAGE APAA AFRIKA YA KUSINI NA MATUMAINI YA USHINDI

Bondia Lulu Kayage akiwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya safari yake ya Afrika kusini kupigana mpambano mwingine agoust 28. Picha zote na SUPER D BOXING NEWSBondia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GARY NEVILLE; ‘ NI UBISHI AU UJINGA WA WENGER’ ……?

Kwa muda mchache anaonekana kuwa vizuri ,Francis Coquelin anaonesha kitu katika safu ya kiungo ya Arsenal. Kamati  ya uchambuzi ya espn walijaribu kuangalia kikosi cha sasa cha Arsenal na kuzungumzia...

View Article
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live