Quantcast
Channel: MPENJA SPORTS
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

COURTOIS SHUJAA CHELSEA IKIITWANGA PSG KWA PENATI

 Chelsea wamefanikiwa kuibuka na ushindi dhidi ya PSG baada ya kufanikiwa kushinda kwa changamoto ya mikwaju ya penati 6-5, katika mchezo wa kuwania 'International Champions Cup' uliopigwa usiku wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENGER AENDELEZA KAULI ZAKE ZA KUWAUDHI MASHABIKI WA ARSENAL

Kocha wa Arsenal Arsene Wenger bado ana imani kubwa kuwa ataimarisha eneo la ushambuliaji kwa timu yake endapo atapata mtu sahihi atakaeendana na mfumo wa timu yakeJana Arsenal waliibuka na ushindi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIZI SI HABARI NZURI KWA MASHABIKI WA MAN U HATA KIDOGO

Di Maria amewaambia Man United anataka kujiunga na PSGStoo ya United ikiwa na maski za Robin van Persie, Di Maria na Radamel Falcao ambazo ndizo pekee zinazouzwa kwa bei rahisi kabisa.Angel di Maria...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI WA YANGA USHAURI HUU POKEENI KWA MIKONO MIWILI

Admini wa Ukurasa maarufu wa facebook wa 'Naipenda Yanga' ameandika maneno mazito na yenye mantiki akiwashauri viongozi wa Yanga kuwa na mikakati madhubuti na klabu yao, ikiwemo kutumia vizuri vipaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HABARI 'MUJARABU' KWA ARSENAL KUHUSU WALCOTT

Haendi popote: Walcott ataendelea kubaki Arsenal mpaka mwaka  2019Theo Walcott amekubali kusaini mkataba mpya na klabu yake ya Arsenal.Nyota huyo wa Uingereza (26), alikuwa anaingia katika mwaka wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHEZO NI FURAHA; CHEKI MAKOCHA HAWA KUTOKA TIMU PINZANI WANAVYOLONGA KWA...

Kocha wa Khartoum Kwesi Appiah (kushoto) akiwa pamoja na kocha wa Gor Mahia Frank Nuttal (katikati) na kocha msaidizi wa Gor Mahia (kulia) wakifurahia jambo pamojaJana wakati timu zao zikifanya mazoezi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FALCAO AANZA KAZI CHELSEA WAKIWAFUNGA PSG MAREKANI

Mshambuliaji Radamel Falcao Garcia, aliifungia timu yake mpya ya Chelsea goli katika hatua ya changamoto ya mikwaju ya penati mara baada ya sare ya bao 1-1 dhidi ya PSG katika mechi za kimataifa za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IBRAHIMOVIC ASEMA HAYA BAADA YA KUSIKIA DI MARIA YUPO KATIKA HATUA ZA MWISHO...

Zlatan Ibrahimovic amemkaribisha Angel Di Maria Paris Saint-Germain, baada ya taarifa kuwa, uhamisho wa Muargentina huyo ukiwa karibu kabisa kukamilika.Kocha wa Man United Louis van Gaal jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKOSI CHA YANGA LEO DHIDI YA AL-KHARTOUM YA SUDAN

MICHUANO YA KAGAME CUP.YANGA SC (Tanzania) vs Al - Khartoum (Sudan)KIKOSI CHA YANGA LEO.1.Ally Mustafa Mtinge "Barthez"2.Joseph Tetteh Zuttah3 .Oscar Fanuel Joshua.4.Pato Ngonyani.5.Kelvin Patrick...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GOR MAHIA YAMALIZA VYEMA KUNDI A KAGAME IKIIFUMUA TELECOM FC

Na Bertha Lumala, Dar es SalamMSHAMBULIAJI wa Gor Mahia anayewaniwa na klabu za Azam, Simba na Yanga, Michael Olunga, amefikisha mabao manne katika michuano ya Kombe la Kagame 2015 baada ya leo alasiri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NI YANGA VS AZAM FC ROBO FAINALI JUMATANIO

Na Bertha Lumala, Dar es SalaamYANGA na Azam FC zitakumbushia fainali ya 2012 ya Kombe la Kagame zitakapomenyana kwenye Uwanja wa Taifa keshokutwa Jumatano baada ya leo jioni Wanajangwani kuibuka na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOJIRI KATIKA MCHEZO WA NYOTA (ALL STAR) WA WNBA (LIGI YA KIKAPU YA...

Na Nicasius Nicholaus Agwanda (Nicasius Coutinho Suso) Wakati ligi nyingi zikiwa katika mapumziko za michezo mbalimbali, pacha wa ligi kuu ya kikapu nchini Marekani (NBA) hapa tunaongelea ligi kuu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA KESHO KUJIPIMA UBAVU NA TIMU HII ZANZIBAR

Timu ya Simba kesho inatarajiwa kucheza na timu ya Zanzibar Combain katika mchezo wao wa kirafiki unaotarajiwa kuchezwa siku ya Kesho tarehe 27 – 7 – 2015.Timu ya Simba leo imepewa mapuziko ya siku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

STORI MPYA YA CRISTIANO RONALDO KUJEREA MANCHESTER UNITED

Moja ya stori inayotembea sana kwa sasa ni Cristiano Ronaldo kuhusishwa kurejea Manchester United, lakini kocha mkuu wa klau hiyo, Louis van Gaal amekanusha taarifa hizo.Mreno huyo alidumu miaka sita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAFARI YA MATUMAINI YA MANCHESTER UNITED HALI TETE...

Hii ni habari mbaya kwa mashabiki wa Manchetser United wenye hamu ya kunasa kitasa hiki cha maana kwa ajili ya msimu ujao wa ligi kuu England na mashindano mengine ikiwemo Uefa Champions League.Stori...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

STORI HII YA JOHN TERRY IME-MAKE HEADLINE LEO JUMATATU....

Nahodha mwandamizi wa Machampions wa England, Chelsea, John Terry leo ame-make Headline kwenye vyombo vya habari.Terry ameweka wazi kwamba ana nia ya kuichezea Chelsea angalau kwa miaka miwili ijayo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DONE DEAL: MANCHESTER UNITED YAPATA MRITHI WA VICTOR VALDES

Manchester United jana usiku wamethibitisha kumsajili Golikipa wa Argentina ambaye ni mchezaji huru,  Sergio Romero.Romero mwenye miaka 28 amesaini mkataba wa miaka mitatu kuitumikia miamba hiyo ya Old...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PELLEGRINI ATUMIA MBINU HII KUMZUIA PEP GUARDIOLA

Manuel Pellegrini amekiri kwamba Manchester City  inatakiwa kufanya vizuri msimu huu ili kuepusha uwezekano wa Pep Guardiola kuvaa viatu vyake Etihad msimu ujao.Pellegrini ameingia katika miezi yake 12...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TWEETS ZA MASUPASTAA WA ARSENAL BAADA YA KUTWAA EMIRATES CUP

Hii ni dalili kwamba kufikia mwezi Mei mwakani, Arsenal watakuwa wamekusanya makombe ya kutosha?Wakiwa tayari wameshinda kombe la pili la FA mfululizo msimu uliopita, Arsenal jana wametwaa kombe la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEXICO MABINGWA WAPYA CONCACAF GOLD CUP 2015, WAIDUNDA JAMAICA FAINALI

MEXICO wametwaa Ubingwa wa Mashindano ya Kombe la Shirikisho la Soka la Nchi za Marekani ya Kaskazini na Kati pamoja na Visiwa vya Carribean, CONCACAF GOLD CUP baada ya kuifunga Jamaica mabao  3-1...

View Article
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live