Quantcast
Channel: MPENJA SPORTS
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKALI HAWA WANA ZALI LA KUFA MTU AISEE

ZOEZI la usajili kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara linaendelea kwa sasa nchini na limewanufaisha baadhi ya wachezaji ambao kwa namna moja au nyingine, wala hawakuota kuangukiwa na zali. Unajua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

COUTINHO SASA HALI TETE '1ST ELEVEN' JANGWANI

WINGA wa Yanga, Mbrazil Andrey Coutinho, amejikuta akiwa njiapanda juu ya uwezekano wa kupata namba katika kikosi cha kwanza (First Eleven), kutokana na timu hiyo kusheheni rundo la wachezaji wenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: MATUKIO MBALIMBALI YA WACHEZAJI WA ARSENAL WAKIWA MAZOEZINI HUKO...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HASHEEM THABEET AHARIBU

Mtanzania anayecheza mchezo wa mpira wa kikapu nchini Marekani Hasheem Thabeet ametolewa uwanjani baada ya kufanya madhambi mara mbili.Hasheem anapambana kwa sasa ili kuweza kurejesha ndoto zake za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TETESI ZILIZOJIRI KWENYE MAGAZETI YA ULAYA LEO JULAI 14 2015

Mshambuliaji wa Paris St-Germain Edinson Cavani, 28 ndio "kipaumbele" kwa Manchester United kuziba nafasi ya Robin van Persie anayeelekea Fernabahce (TalkSport) pia mshambuliaji wa Bayern Munich Robert...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI MGENI RASMI UFUNGUZI KAGAME

Waziri wa Waziri wa Ujenzi nchini Tanzania, John Pombe Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa michuano ya Kombe la Kagame siku ya Jumamosi, Julai 18 2015 katika uwanja wa Taifa jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZEE SAID AFUNGUA KOZI YA MAKOCHA WA MAKIPA

Mjumbe wa Kamati ya utendaji ya TFF na makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu nchini, Said Mohamed leo amefungua kozi ya makocha wa golikipa inayoendelea katika ofisi za TFF zilizopo Karume.Katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAM YAMSAJILI ALIYEING'OA AFRIKA

Na Bertha Lumala, Dar es SalaamNYOTA mahiri na maarufu katika ukanda wa CECAFA, Jean-Baptiste Mugiraneza na mshambuliaji hatari wa El-Merreik Allan Wanga wamesajiliwa Azam FC, mabingwa hao wa Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHIF YAIPIGA TAFU TIMBERLAND JOGGING YA YOMBO KILAKALA

Mlezi wa kikundi cha Timberland Jogging cha yombo Kilakala Carren Mgonja akizungumza na maafisa wa Mfuko wa Afya ya Jamii NHIF walipowatembelea makao yao makuu.Baadhi ya wanachama wa kikundi cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VAN PERSIE AMEGOMA KUMSHUKURU HUYU WAKATI AKITAMBULISHWA FENERBAHCE

Robin van Persie kwa kile kisichoeleweka, ameamua kutotoa shukrani zake za dhati kwa meneja wake wa zamani Louis van Gaal, wakati alipokuwa akiishukuru klabu ya Manchester United kwa mchango wao kwake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARSENAL, MAN U WASHUKURIWA NA VAN PERSIE, HII NDIO PICHA ALIYOPOSTI KATIKA...

Robin van Persie amevishukuru vilabu vyake vya zamani vya Arsenal na Man United kwa mchao wao baada ya kutambulishwa rasmi katika klabu yake mpya ya Fenerbahce.Akitoa ukumbusho wa miaka 11 aliyokaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STRAIKA WA YANGA ATUA KCCA YA UGANDA

Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Shaban Kondo amekamilisha uhamisho wake wa kutoka Stand United kwenda klabu ya KCC ya Uganda.Kondo alifanya majaribio na mabingwa hao wa zamani wa Uganda na kufanikiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANCINI AELEZA SABABU ZA KUMUONEA WIVU JOSE MOURINHO ALIVYOKUWA INTER

Roberto Mancini amekiri kwamba alikuwa akimuonea wivu Jose Mourinho kushinda makombe matatu wakati alipokuwa akiifundisha Inter na kuongeza kuwa amefanya maamuzi ya kipuuzi kurudi kuifundisha klabu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYUSO ZAO HAZIENDANI NA UMRI WAO, NIMEKUEWEKEA HAPA ORODHA YA WACHEZAJI 10...

10. Kurt Zouma – Miaka 209. Radamel Falcao – Miaka 298. Charlie Adams – Miaka 29 7. Danny Ings – Miaka 226. Jonjo Shelvey – Miaka 23 5. Pablo Zabaleta – Maika 304. Jeremy Toulalan – Miaka 313. Arjen...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FLOYD MAYWEATHER ULINGONI TENA SEPTEMBA 12

Bondia Floyd 'money' Mayweather maarufu kama 'The Best Ever' anatarajiwa kurudi tena ulingoni September 12 mwaka huu mara baada ya pambano lake la May 3 alipomshinda Manny Pacquiao kwa pointi.Awali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASTIAN SCHWEINSTEIGER: MJERUMANI WA KWANZA KUICHEZEA MAN UTD.

Na Simon Chimbo;Kiungo na nahodha wa timu ya taifa ya Ujerumani, Bastian Schweinsteiger, wiki hii amekua ni Mjerumani wa kwanza kuichezea klabu ya Manchester United baada ya kusaini mkataba wa miaka 3...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USAJILI: ARSENAL YAPATA PIGO

Washika bunduki wa jiji la London, klabu ya Arsenal ya nchini Uingereza, imepata pigo mara baada ya ripoti kutoka Ureno zikieleza kuumia kwa kiungo William Calvalho.William Calvalho mwenye miaka 23...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF YAUNDA KAMATI YA USHAURI YA LIGI

Rais wa Shirikiso la Mpira wa Miguu nchini (TFF) Jamal Malinzi ameteua Kamati ya ushauri ya Ligi Kuu (VPL) na ligi Daraja la Kwanza (FDL) nchini. Mwenyekiti wa Kamati hiyo ni Alhaj Ahmed Mgoyi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CECAFA KUENDESHA MTIHANI WA UTIMAMU WA MWILI KESHO

Baraza la Vyama Vya Soka kwa Nchi za Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kesho Alhamisi Julai 16, litaendesha mtihani wa utimamu wa mwili (Physical test) kwa waamuzi wa watakochezesha michuano ya kombe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AL SHANDY, MALAKIA, KMKM KUWASILI KESHO

Timu ya Al Shandy kutoka nchini Sudan, Al Malakia kutoka Sudan Kusini na KMKM kutoka Visiwani Zanzibar zinatarajiwa kuwasili kesho jijini Dar es salaam tayari kwa ushiriki wao kwenye michuano ya kombe...

View Article
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live