Afisa habari wa Simba SC Hajji Manara (kulia) akikabiliana na mchezaji wa wacheza filamu wa Bongo Movies
Afisa habari wa klabu ya Simba Hajji Manara jana alikuwa kivutio kikubwa kwenye siku ya Simba Day pale alipoingia uwanja kuonesha kipaji chake cha soka wakati timu yake ya viongozi wa Simba SC ilipokuwa ikicheza na wacheza filamu wa Tanzania (Bongo Movies) mchezo uliokuwa wa utangulizi kabla ya mechi ya Simba SC haijacheza na Sports Club Villa ya Uganda.



