Quantcast
Channel: MPENJA SPORTS
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OKWI ATIMKIA NCHI HII KUFANYA MAJARIBIO...

Na Bertha Lumala, Dar es SalaamKIUNGO mshambuliaji wa Simba kutoka Uganda, Emmanuel Okwi anatarajiwa kuondoka kwenda Denmark kufanya majaribio ya kujiunga na mabingwa wa ligi kuu ya nchi hiyo, klabu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA VIPAJI YANASA MAJEMBE 30

Klabu ya Simba imepata vijana 30 leo katika siku ya kwanza ya mradi uliopewa jina la Simba Vipaji kati ya vijana 123 waliojitokeza kuonyesha uwezo wao wa kucheza mpira kwa ajili ya kuunda timu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TWAHA MWENYEKITI MPYA COASTAL UNION, SAFU NZIMA YA UONGOZI HII HAPA...

Wanachama wa Coastal Union waliohudhuria uchaguziUchaguzi uliofanyika jana tarehe 5/7/2015 matokeo yalikuwa kama ifuatavyo:1.MWENYEKITI: Jumla ya wapiga kura 207.Kura zilizopigwa  205.Kura zilizo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKIACHANA NA MESSI, HAWA NI NGULI KUMI WALIOTAMBA NA VILABU VYAO LAKINI...

Johan Cruyff, Uholanzi (1966-77: Mechi 48 magoli 33)Alishinda mataji mengi akiwa na klabu ya Ajax, Barcelona na Fayenood, lakini hakuwahi kutwaa taji hata moja akiwa na timu ya taifa ya Uholanzi....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKALA ATHIBITISHA CASILLAS KUITAKA PORTO

Na Ramadhani Ngoda.Wakala wa Mlinda mlango wa klabu ya Real Madrid na timu ya tifa ya Hispania, Iker Casillas,Carlo Cutropia ameweka wazi kuwa mteja wake anataka kutimkia kunako klabu ya Porto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANDY MURRAY ALINDA HESHIMA YA NYUMBANI

Na Ramadhani Ngoda.Mchezaji wa tenisi namba 3 kwa ubora duniani Muingereza Andy Murray amewatoa kimaso maso Waingereza baada ya kutinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Wimbledon inayoendelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMAYE JUVE WAKATA TAMAA KWA POGBA

Na Ramadhani ngoda.Licha ya kukanusha taarifa za Paul Pogba kuwa njiani kuelekea Fc Barcelona kutokana na mzungumzo ya wiki iliopita, raisi wa Juventus Turin, Andrea Agnelli amekiri kuwa kiungo huyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARCELONA WAIPIGA BAO CHELSEA KWA TURAN

Na Ramadhani Ngoda.Mabingwa wa Hispania na Ulaya, Fc Barcelona hatimaye wameshinda mbio za kuwania saini ya kiungo wa kimataifa wa Uturuki na klabu ya Atletico Madrid, Arda Turan baada ya kuthibitisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TYSON NA KLITSCHKO KUZICHAPA MWEZI OKTOBA

Na Ramadhani Ngoda.Wapenzi wa masumbwi ukimwenguni wanasubiri kwa hamu burudani nyingine ya mchezo huo baada ya kambi za mabondia Tyson Fury kutoka Uingereza na Wladmil Klitscko kutoka Ukraine kufikia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENTALEB AJITIA KITANZI SPURS

Na Ramadhani ngoda.Kiungo wa kimataifa wa Algeria na klabu ya Tottenham Hotspur, Nabil Bentaleb hatimaye amefikia makubaliano ya kusaini mkataba wa miaka 5 utakaomuweka White hart Lane hadi mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HANS POPPE: OKWI AMEUZWA DENMARK

Na Bertha Lumala, Dar es SalaamKUMBE kiungo mshambuliaji wa Simba kutoka Uganda, Emmanuel Okwi ameuzwa katika klabu ya  Sonderjsyke ya Denmark, imefahamika.Okwi; aliyeibeba Simba kumaliza nafasi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA NNE ZA MEMPHIS DEPAY AKIFANYA MAZOEZI KWA MARA YA KWANZA MANCHESTER UNITED

Mchezaji mpya wa Manchester United,  Memphis Depay jana amefanya mazoezi kwa mara ya kwanza na wachezaji wenzake.Tazama picha kadhaa akiwa mazoezini;

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REAL MADRID WATUPIA NYAVU KWA STRAIKA HUYU.....

Kuna stori kwamba Real Madrid inavutiwa kumsaijili Msweden, Zlatan Ibrahimovic.Rais wa zamani wa Real Madrid,  Ramon Calderon ame-tweet kwamba kuna uwezekano mkubwa wa dili hilo kukamilika na klabu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAYWEATHER AVULIWA MKANDA WA UBINGWA ALIOMTWANGA MANNY PACQUIAO

Bondia asiyepigika, Floyd Mayweather amevuliwa mkanda wa ubingwa wa WBO, uzito wa Welterweight  unaohusisha kilo 67 na 77 ambao alishinda mwezi Mei mwaka huu dhidi ya Manny Pacquiao kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIPOTI: RAHEEM STERLING NDIYE KINDA MWENYE THAMANI ZAIDI ULAYA, ANGALIA...

Mshambuliaji inayeshinikiza kuondoka Liverpool, Raheem Sterling ametajwa kuwa ndiye  mwenye thamani kubwa kwa wachezaji vijana wenye umri chini ya miaka 21 barani Ulaya, huku wanandinga wengine watatu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAWASILI MBOZI KUKETI NA KIMONDO

 Katibu mkuu wa Yanga, Dr. Jonas Tiboroha (kulia) amewasili Mbozi-Mbeya kuzungumza na viongozi wa Kimondo FC ili kufikia muafa wa mkataba wa mshambuliaji mpya wa klabu hiyo, Geoffrey Mwashiuya ambaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKALA ATOA MAJIBU YA MAJARIBIO YA MSUVA BIDVEST WITS

Baada ya kimya kirefu kutanda kuhusu hatma ya winga wa Yanga Simon Msuva na hatma ya majaribio aliyofanya kwenye klabu ya Bidvest Wits ya Afrika Kusini, meneja wake Mohamed Msemo ameibuka na kufunguka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BIDVEST WITS YATOA MAJIBU YA MAJARIBIO YA MKUDE

Klabu ya Simba kupitia msemaji wake Hajji Manara imesema, imepokea taarifa kutoka klabu ya Bidvest Wits FC ya Afrika Kusini alikokwenda Jonas Mkude kufanya majaribio ikisema kwamba, wamemuona mchezaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZ!: TFF YAVUNJA RASMI MKATABA WA MESSI NA SIMBA

Shirikisho la soka nchini TFF limevunja rasmi mkataba wa Ramadhan Singano "Messi' na klabu yake ya Simba baada ya Wekundu hao wa Msimbazi kushindwa kuwasilisha vielelezo mbele ya kamati ya Sheria na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RUVU SHOOTING YABAKIZA MAJEMBE YAKE MAWILI

Timu ya Ruvu Shooting imewasainisha mkataba wa miaka miwili wachezaji wawili Damas Makwaya na Issa KANDURU, wote kutoka Ruvu JKT.Aidha wachezaji wa kikosi cha kwanza cha Shooting waliokwenda mafunzo ya...

View Article
Browsing all 1447 articles
Browse latest View live