Ratiba ya robo fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya imetolewa leo ambapo mabingwa watetezi, FC Barcelona wamepangiwa na miamba mingine ya ligi ya Hispania, La liga, Atletico Madrid, huku mabingwa mara nyingi zaidi wa kihistoria, Real Madrid ambao wameshinda mataji 10 wakikabidhiwa Wolfsburg ya Ujerumani.
Angalia picha juu kujua mechi zote za robo fainali.